Posts

Showing posts from January, 2023

JINSI YA KUITA JINI KUTOKA KABURINI

Image
Watu wengi wanadhani majini wanaishi baharini pekee, laah majini wanaishi popote na wanauwezo wa kuishi popote ambapo anaishi kiumbe yoyote sababu wao wanauwezo wa kugeuza maumbile yao katika kila aina ya mnyama, mdudu au mimea. Karibu darasani leo na Maalim amekuandalia somo pevu lenye maarifa jinsi ya kumuita na kumtumia jini kutoka kaburini. Usisahau kusubscribe kukoment na kushare maarifa haya ili na wenzetu wengine yawafikie pia ukivutiwa sana na darasa hili muandikie ujumbe Maalim Shafii Neyz katika nambari +255 692 007 575 Maalim Shafii somo la leo ameliandaa kwa njia ya simulizi, ni masuala mtambuka yanahitaji umakini mkubwa sana. Siku moja Maalim Shafii The Don alikuwa katika shughuli zake za kuandaa dawa ambapo watu wake wa kichwa walimuelekeza kuwa dawa hiyo itapatikana katika kabuli la shujaa wa nchi fulani ambapo kabuli hilo mtu wa kawaida akifika kutazama huwa halionekani. Kwa sababu maalum Maalim Shafii hakusema kabuli hilo lipo nchi gani, aliendelea kusimulia ya kuwa uk...